15 Mar Gombo la 2 Salamu Mwafaka Namba 11, 12
Wayahudi walikuwa wamejenga dhana potofu kuhusu namna Ufalme ungeweza kuwa, na jinsi na lini un-gepaswa kuja na hivyo wakati Bwana alipofunua dhana zao, walikasirika. Walikasirika sana, sio kwa sababu Ufalme ambao Mwokozi aliufunua haukuwa wa neema zaidi na halisi kuliko vile walivyowahi kufikiri, ila kwa...