15 Apr Gombo la 2 Salamu Mwafaka Namba 15, 16
Kipo kitabu kimoja tu katika Bibilia ambacho kilipaswa kufunguliwa, na hicho ni kitabu cha Danieli (Dan. 12: 4). Na kwa kuwa kitu cha kwanza ambacho malaika alifanya ni kukifungua kitabu, uchambuzi unathibitisha kwamba yeye kwa kweli anaonekana kwenye eneo mwanzoni mwa wakati wa mwisho, wakati...