15 Apr Gombo la 2 Salamu Mwafaka Namba 41, 42
Hata hivyo, nina uhakika kwamba Mungu hatatuweka tusiyajue mambo ambayo tunapaswa kujua. Iwapo itakuwa muhimu kwetu kujua mbele ya wakati siku na saa ya utakaso wa kanisa, Pasaka ya uakisi, tutaambiwa. Naam, tutajua angalau mapema jinsi Musa alivyojua kuhusu Pasaka katika siku yake. Hakujua miezi...