fbpx

Tafakari, Ndugu, na mzinduke kwa uhai! Sauti hii, inayoteta nanyi muamke na kuepuka mitego ya Adui haiwezekani kuwa sauti ya Adui! Kumbukeni kwamba Bwana “hutushangaza kwa kuzifunua nguvu Zake kupitia vyombo vya chaguo Lake mwenyewe, ilhali Yeye hupita kwa watu ambao tumewaangalia kama wale ambao...

Kanisa la Kiyahudi, ambapo ukweli ulikaa mpaka wakati wa Kristo, lingekuwa milele “ghala,” na makuhani wangekuwa milele mawakili wake. Lakini wakati walimkataa Kristo, walimlazimisha Mungu kuhamisha “ghala” Lake kwa wachache sana ambao walikubali ujumbe ulioongezwa kwa siku hiyo. Hivyo basi, wale ambao hawakuamini walipoteza uwakili...

Ingawa ni kazi ya kutia taji wokovu wetu na ya kuanzishwa kwa Ufalme wa Kristo duniani, hata sasa “hukumu ya upelelezi” ni mojawapo wa masomo ya Biblia yaliyofahamika kwa uchache yaliyochafuliwa sana na kuchanganywa ya kizazi hiki. Lingekuwa si la umuhimu kwa wokovu wetu, adui...

Kwa hivyo, wandugu, tatueni mara moja na milele, kwamba kwa msaada wa Bwana hamtachukuliwa tena na pepo za mafundisho ambayo yamebuniwa na kuendeshwa na roho ya uovu, si kwa Roho wa Kweli, ila kwamba mtatafuta daima, na kusimama na, Neno la Mungu Lililovuviwa -- “ushuhuda...

>