Gombo la 1 Salamu Mwafaka Namba 03, 04
Hebu tuone. Kabla ya kuanzisha agizo la unyenyekevu, Yesu aliwaambia wanafunzi wake, “Ninyi ni safi, lakini sio nyote.” Mmoja hakuwa. Licha ya ukweli...
Hebu tuone. Kabla ya kuanzisha agizo la unyenyekevu, Yesu aliwaambia wanafunzi wake, “Ninyi ni safi, lakini sio nyote.” Mmoja hakuwa. Licha ya ukweli...
Njia ngapi? – mbili tu: njia sahihi na njia mbaya. Njia hizi mbili zimekuwa pamoja nasi na daima zitakuwa kwa kadri muda wote...
Asilani hakukuwahi kuwa na mawingu ya vita, ya ajabu na meusi sana yakining’inia kwa ghadhabu ya uzito juu ya ulimwengu, na kamwe ulimwengu...
Ukristo wa kweli ni ukuaji. Ni kama mmea. Kristo Mwenyewe amewakilishwa kama Chipukizi (Isa. 11:1), na ufalme Wake kama mbegu ya haradali (Mat....
Watu wote katika vizazi vyote ambao wamewahi kuukumbatia ujumbe mpya kutoka kwa Mungu, walipigwa chapa kama “vichipuko” na kuangaliwa hatari -- jambo ambalo...
Hata hivyo, nina uhakika kwamba Mungu hatatuweka tusiyajue mambo ambayo tunapaswa kujua. Iwapo itakuwa muhimu kwetu kujua mbele ya wakati siku na saa...
Yapo mazungumzo mengi kati yetu kuhusu “haki kwa neema” na “haki kwa imani,” pia juu ya “haki ya Kris-to.” Lakini mazungumzo haya yote...
Wazazi wenye busara hutazama mbele. Wao waangalifu kuhakikisha mustakabali wa watoto wao. Hili wao hulifanya kwa kukazia kikiki ndani ya watoto wao kanuni...
Sisi na wengi katika himaya ya Ukristo kwa kawaida tunaamini kwamba simba huwakilisha ufalme wa Babeli wa kale, dubu Umedi na Uajemi, chui...
Kwa uzoefu wa kibinafsi Daudi alijua uaminifu wa Mungu: Baada ya kufanya yote yaliyotakiwa kufanywa katika kumtumikia Mungu, alikuwa na imani kwamba wakati...
Session expired
Please log in again. The login page will open in a new tab. After logging in you can close it and return to this page.