Gombo la 1 Salamu Mwafaka Namba 15, 16
Hebu kimbele tuyaamshe upya mawazo yetu kwa mwenendo wa Wayahudi dhidi ya manabii: Badala ya kwen-da na kusudi la kujifunza na kufikiria, Wayahudi...
Hebu kimbele tuyaamshe upya mawazo yetu kwa mwenendo wa Wayahudi dhidi ya manabii: Badala ya kwen-da na kusudi la kujifunza na kufikiria, Wayahudi...
Kama ilivyokuwa katika siku za kulijenga hekalu la mfano hivyo ni lazima iwe hivyo katika siku za kulijenga la uakisi, katika siku zetu....
Awali nabii aliwaona hawa kama pembe nne, kama tawala ambazo ziliwatawanya Yuda, Israeli na Yerusalemu katika nchi zote za Mataifa, lakini kama malaika...
Kristo Haki Yetu hufafanua maneno haya ya hotuba kama ifuatavyo: “’Uamsho na matengenezo lazima yafanyi-ke chini ya utumishi wa Roho Mtakatifu. Uhuisho na...
Ndugu kadhaa wameniandikia mara kwa mara, wakitaka kujua nini kinachoweza kuwafanya wawe wateule kuupokea Muhuri wa Mungu. Wengine wanataka kujua kama watatiwa muhuri...
Aya ya 2 -- “Na itakuwa katika siku za mwisho, mlima wa nyumba ya Bwana utawekwa imara juu ya milima, nao utainuliwa juu...
Hebu tuone. Kabla ya kuanzisha agizo la unyenyekevu, Yesu aliwaambia wanafunzi wake, “Ninyi ni safi, lakini sio nyote.” Mmoja hakuwa. Licha ya ukweli...
Njia ngapi? – mbili tu: njia sahihi na njia mbaya. Njia hizi mbili zimekuwa pamoja nasi na daima zitakuwa kwa kadri muda wote...
Asilani hakukuwahi kuwa na mawingu ya vita, ya ajabu na meusi sana yakining’inia kwa ghadhabu ya uzito juu ya ulimwengu, na kamwe ulimwengu...
Ukristo wa kweli ni ukuaji. Ni kama mmea. Kristo Mwenyewe amewakilishwa kama Chipukizi (Isa. 11:1), na ufalme Wake kama mbegu ya haradali (Mat....
Session expired
Please log in again. The login page will open in a new tab. After logging in you can close it and return to this page.