Trakti Namba 07
Kuamini kwamba mungependa kuwa na ufahamu hakika wa mgogoro sasa unaolikumba kanisa letu pendwa S.D.A., sisi kama ndugu wa imani moja ya thamani...
Kuamini kwamba mungependa kuwa na ufahamu hakika wa mgogoro sasa unaolikumba kanisa letu pendwa S.D.A., sisi kama ndugu wa imani moja ya thamani...
Kazi ya Eliya wa kale, unajua, ilikuwa kazi ya kufunga kwa ajili ya Israeli ya mfano iliyoasi -- Kanisa. Vivyo hivyo kazi ya...
Mti wa Krismasi unaotumiwa sana, tarehe 25 Desemba -- mti uliokatwa kutoka kwa chanzo chake cha uzima na kukazwa kwa misumari -- hauwakilishi...
Watu ambao hutii sheria ya serikali hufikiri kwamba ni maagizo bora ya uhuru, lakini wale hufurahia kufanya dhambi, kwa wao sheria ni chukizo....
Je! Dini ni kitu ambacho hukua na kupanuka, au ni kitu ambacho husimama tuli? Siku ile nyingine tu tulisikia kwenye redio mchungaji fulani...
Iwapo tutalinganisha kazi zetu na kazi za Nuhu tutaona ikiwa tunapatana naye katika kutii Ukweli wa sasa. La walioishi kabla wala baada ya...
Tunapaswa kushukuru sana kuwa Bwana anatulisha kwa “chakula kwa wakati wake”! Ijapokuwa watu wanauana kwa mamilioni ili wajikomboe kutoka kwa nira ya taifa...
Iwapo tungaliweza kutambua tu yale ambayo Mungu amewaandalia wapendao kusoma Neno Lake na kutembea katika Nuru Yake inayoongezeka daima, basi tungalifanya shughuli ya...
Sasa tunaishi katika dunia iliyochanganyikiwa. Baadhi ni wa Paulo na baadhi ni wa Apolo, wa Kefa, Petro, Yo-hana, na Yakobo, wengine wa Mungu...
Tumejifunza sasa kwamba wake wawili wa Abrahamu na wana wawili ni utabiri ki-mfano wa makanisa ya Agano la Kale na Jipya; kwamba kuwasili...
Session expired
Please log in again. The login page will open in a new tab. After logging in you can close it and return to this page.