10 Mar Gombo la 1 Salamu Mwafaka Namba 11, 12
Awali nabii aliwaona hawa kama pembe nne, kama tawala ambazo ziliwatawanya Yuda, Israeli na Yerusalemu katika nchi zote za Mataifa, lakini kama malaika alivyoonyesha mtazamo wa unabii kwa wakati wa...
Awali nabii aliwaona hawa kama pembe nne, kama tawala ambazo ziliwatawanya Yuda, Israeli na Yerusalemu katika nchi zote za Mataifa, lakini kama malaika alivyoonyesha mtazamo wa unabii kwa wakati wa...
Kristo Haki Yetu hufafanua maneno haya ya hotuba kama ifuatavyo: “’Uamsho na matengenezo lazima yafanyi-ke chini ya utumishi wa Roho Mtakatifu. Uhuisho na matengenezo ni mambo mawili tofauti. Uhuisho huashiria...
Ndugu kadhaa wameniandikia mara kwa mara, wakitaka kujua nini kinachoweza kuwafanya wawe wateule kuupokea Muhuri wa Mungu. Wengine wanataka kujua kama watatiwa muhuri kwa kutenda hili au kutenda lile. Wengine...
Aya ya 2 -- “Na itakuwa katika siku za mwisho, mlima wa nyumba ya Bwana utawekwa imara juu ya milima, nao utainuliwa juu ya vilima; na mataifa yote watauendea makundi...
Hebu tuone. Kabla ya kuanzisha agizo la unyenyekevu, Yesu aliwaambia wanafunzi wake, “Ninyi ni safi, lakini sio nyote.” Mmoja hakuwa. Licha ya ukweli kwamba Yuda hakuwa anastahili, agizo halingeweza kusitishwa....
Session expired
Please log in again. The login page will open in a new tab. After logging in you can close it and return to this page.