30 Aug Gombo la 1 Salamu Mwafaka Namba 49, 50
Iwapo tutalinganisha kazi zetu na kazi za Nuhu tutaona ikiwa tunapatana naye katika kutii Ukweli wa sasa. La walioishi kabla wala baada ya gharika hawakufaidika na mahubiri ya Nuhu. Wa...
Iwapo tutalinganisha kazi zetu na kazi za Nuhu tutaona ikiwa tunapatana naye katika kutii Ukweli wa sasa. La walioishi kabla wala baada ya gharika hawakufaidika na mahubiri ya Nuhu. Wa...
Tunapaswa kushukuru sana kuwa Bwana anatulisha kwa “chakula kwa wakati wake”! Ijapokuwa watu wanauana kwa mamilioni ili wajikomboe kutoka kwa nira ya taifa fulani lingine, Musa aliwakomboa Israeli wa kale...
Iwapo tungaliweza kutambua tu yale ambayo Mungu amewaandalia wapendao kusoma Neno Lake na kutembea katika Nuru Yake inayoongezeka daima, basi tungalifanya shughuli ya Mungu iwe shughuli yetu kuu; basi hatungaliweza...
Sasa tunaishi katika dunia iliyochanganyikiwa. Baadhi ni wa Paulo na baadhi ni wa Apolo, wa Kefa, Petro, Yo-hana, na Yakobo, wengine wa Mungu na wengine wa Kristo. Wakristo wanabishana na...
Tumejifunza sasa kwamba wake wawili wa Abrahamu na wana wawili ni utabiri ki-mfano wa makanisa ya Agano la Kale na Jipya; kwamba kuwasili kwa Ishmaeli kuliwakilisha kimbele Israeli wa asili...
Session expired
Please log in again. The login page will open in a new tab. After logging in you can close it and return to this page.