15 Aug Gombo la 2 Salamu Mwafaka Namba 35
Kwa uzoefu wa kibinafsi Daudi alijua uaminifu wa Mungu: Baada ya kufanya yote yaliyotakiwa kufanywa katika kumtumikia Mungu, alikuwa na imani kwamba wakati dubu na simba walipokuja kula wana-kondoo wake,...
Kwa uzoefu wa kibinafsi Daudi alijua uaminifu wa Mungu: Baada ya kufanya yote yaliyotakiwa kufanywa katika kumtumikia Mungu, alikuwa na imani kwamba wakati dubu na simba walipokuja kula wana-kondoo wake,...
Fimbo ya Mchungaji, vitabu ambavyo Uvuvio uliviita hivyo na kuyavuvia yaliyomo, ikiwa ndio Fimbo ya pekee duniani inayoweza kusikika ikinena, Bwana anaamuru kwamba unapaswa kuisikia, kwamba usiweze kuupoteza wakati wowote...
Je! Huku kurudi kutakuwa kusikotarajiwa? au Bwana atamtuma mtu fulani kwanza kuitengeneza njia Yake? Na ikiwa mtu atatangulia kuja Kwake, atakuwa nani? -- “Akajibu, akawaambia, Kweli, Ni kweli Eliya yuaja...
Ili kuonyesha mada ya uchambuzi wetu alasiri hii, hebu tuchukue kwa mfano kitabu ambacho Dhehebu lime-toa kuhusu Danieli na Ufunuo, vitabu viwili vyenye thamani sana vya Bibilia. Kitabu nilicho nacho...
Wote ambao hutubu kwa kuivunja sheria, na kumpokea Yeye kama Mwokozi wao, huinuka kutembea katika upya wa maisha. Maisha ambayo yanapatana na sheria kwa kweli ni haki ya Kristo. Wao,...
Session expired
Please log in again. The login page will open in a new tab. After logging in you can close it and return to this page.