15 Apr Gombo la 2 Salamu Mwafaka Namba 21, 22
Wakristo kwa karne nyingi wamehubiri Ufalme wa Mungu, lakini haujaeleweka kwa wengi wao iwapo Utakuwa halisi kama dunia yenyewe, au Utakuwa kitu fulani cha povu, kitu fulani kinachoelea angani, au...
Wakristo kwa karne nyingi wamehubiri Ufalme wa Mungu, lakini haujaeleweka kwa wengi wao iwapo Utakuwa halisi kama dunia yenyewe, au Utakuwa kitu fulani cha povu, kitu fulani kinachoelea angani, au...
Ni dhahiri kuona kwamba kabla wewe na mimi kuwa tayari kuhamishwa bila kufa, lazima kwanza tuwe tayari kwenda katika nchi ya Ahadi, huko kutakaswa, huko mioyo yetu ya jiwe kuondolewa....
Katika maandishi ya Musa hatuwezi kupata kumbukumbu kuhusu uaminifu wa wana wa Israeli katika nchi ya Misiri. Iwapo walikuwa wema au wabaya, Musa hasemi. Lakini hapa kupitia Ezekieli tunaambiwa walivyokuwa....
Kuamini kwamba mungependa kuwa na ufahamu hakika wa mgogoro sasa unaolikumba kanisa letu pendwa S.D.A., sisi kama ndugu wa imani moja ya thamani tunakuja kwenu kwa jina lake Yeye Ambaye,...
Kazi ya Eliya wa kale, unajua, ilikuwa kazi ya kufunga kwa ajili ya Israeli ya mfano iliyoasi -- Kanisa. Vivyo hivyo kazi ya Eliya wa siku hii lazima iwe kazi...
Session expired
Please log in again. The login page will open in a new tab. After logging in you can close it and return to this page.