10 Mar Gombo la 1 Salamu Mwafaka Namba 11, 12
Awali nabii aliwaona hawa kama pembe nne, kama tawala ambazo ziliwatawanya Yuda, Israeli na Yerusalemu katika nchi zote za Mataifa, lakini kama malaika alivyoonyesha mtazamo wa unabii kwa wakati wa mwisho ali-waona kama maseremala wanne; yaani, kama “pembe” walikuja “kuwatawanya” na “kutupa nje pembe za...