fbpx

“Shetani,” inasema Roho ya Unabii, “anao uwezo wa kupendekeza mashaka na kubuni pingamizi kwa ushuhuda ulio dhahiri ambao Mungu hutuma, na wengi hufikiri ni fadhila, alama ya ujasusi ndani yao, kuwa wa kutoamini, na kuhoji na kubishana. Wale ambao wanataka kutilia shaka watapata nafasi nyingi....

Bila kukosea, kwa hivyo, nuru angavu inayoangaza kutoka kwa mfano, kutoka kwa shuhuda za manabii, na kutoka kwa historia, huutambua ujumbe wa Fimbo kama ndio pekee ulioti wakfu kuliongoza kanisa la siku za mwisho, lililowekwa huru kutoka kwa dhambi na wadhambi, kuingia katika nchi ya...

Tafakari, Ndugu, na mzinduke kwa uhai! Sauti hii, inayoteta nanyi muamke na kuepuka mitego ya Adui haiwezekani kuwa sauti ya Adui! Kumbukeni kwamba Bwana “hutushangaza kwa kuzifunua nguvu Zake kupitia vyombo vya chaguo Lake mwenyewe, ilhali Yeye hupita kwa watu ambao tumewaangalia kama wale ambao...

Kanisa la Kiyahudi, ambapo ukweli ulikaa mpaka wakati wa Kristo, lingekuwa milele “ghala,” na makuhani wangekuwa milele mawakili wake. Lakini wakati walimkataa Kristo, walimlazimisha Mungu kuhamisha “ghala” Lake kwa wachache sana ambao walikubali ujumbe ulioongezwa kwa siku hiyo. Hivyo basi, wale ambao hawakuamini walipoteza uwakili...

>