15 Mar Gombo la 2 Salamu Mwafaka Namba 39, 40
Yapo mazungumzo mengi kati yetu kuhusu “haki kwa neema” na “haki kwa imani,” pia juu ya “haki ya Kris-to.” Lakini mazungumzo haya yote yatakuwa na faida gani isipokuwa tufanye jambo ili kujua haki hizi ni nini, na jinsi ya kuzifanya ziwe zetu. Hatupaswi kwa hivyo...