fbpx

" Na wale malaika saba wenye baragumu saba wakajifanya tayari ili wazipige. Malaika wa kwanza akapiga baragumu, kukawa mvua ya mawe na moto vilivyotangamana na damu, vikatupwa juu ya nchi; theluthi ya nchi ikateketea, na theluthi ya miti ikateketea, na majani mabichi yote yakateketea....

Ingawa ni kazi ya kutia taji wokovu wetu na ya kuanzishwa kwa Ufalme wa Kristo duniani, hata sasa “hukumu ya upelelezi” ni mojawapo wa masomo ya Biblia yaliyofahamika kwa uchache yaliyochafuliwa sana na kuchanganywa ya kizazi hiki. Lingekuwa si la umuhimu kwa wokovu wetu, adui...

Kwa hivyo, wandugu, tatueni mara moja na milele, kwamba kwa msaada wa Bwana hamtachukuliwa tena na pepo za mafundisho ambayo yamebuniwa na kuendeshwa na roho ya uovu, si kwa Roho wa Kweli, ila kwamba mtatafuta daima, na kusimama na, Neno la Mungu Lililovuviwa -- “ushuhuda...

Ingawa mara kadhaa tumehitimisha kuyajibu maswali kama (1) iwapo Yesu, ili kutimiza “ishara ya Yona,” alikuwa “siku tatu mchana na usiku” kaburini, au (2) iwapo ishara ilikuwa imetimizwa kwa namna nyingine na (3) ikiwa Yeye alisulubishwa siku ya Ijumaa, ya Alhamisi, au Jumatano, bado inaonekana...

Kwa sababu fundisho la millenia huwasilisha maswali kadhaa ya kusumbua na yaliyoondolewa uhitaji mu-himu kwa wokovu wa kila mwanadamu, na kwa kuwa ukweli pekee yake utaiweka nafsi huru kutoka kwa udanganyifu na dhambi, na kuutakasa moyo, hitaji ni muhimu, kwa hivyo, kwamba tugundue jibu sahihi...

Katika vizazi vyote, wote ambao huweka matumaini yao kwa watu wanaoitwa eti wenye busara, na Wakristo wakuu wa siku, wote wanaodhaniwa kuwa wanamcha Mungu, wamenyang’anywa taji ya uzima wa milele, kama walivyokuwa walei wa Kiyahudi katika siku za Kristo kwa sababu yao kushindwa kuchukua jukumu...

Mwana-Kondoo, anasimama kwanza mbele ya kiti cha enzi mbinguni, anasimama baadaye na watu 144,000 juu ya Mlima Zayuni, juu ya nchi, ingawa Wazee na Wenye Uhai wanaokizunguka kiti cha enzi wanabaki mbinguni. Hivyo, kwa usahihi kuelewa tukio hili la unabii kwa ukamilifu, lazima tutofautishe kwa...

>