fbpx

Yule Ambaye alitabiri kuinuka na kuanguka kwa Babeli na mataifa yalioufuata, ndiye pekee anayejua ni nini kitakachokuwa tokeo la “dhiki ya mataifa” ya sasa. Luka 21:25. Kwa nuru, basi, juu ya swali hili mu-himu sasa la maanani kwanza katika kila akili timamu, tunamgeukia Mungu wa...

Wayahudi walimwita Kristo aliyetarajiwa, Masihi lakini sisi ambao tunazungumza kwa Kiingereza tunamwita Yule Mtiwa mafuta, kwa sababu kwa lugha yetu hilo ndilo neno, Masihi, linamaanisha. Cheo Mtiwa mafuta, sio maana kwa Kiebrania, kama vile cheo, Masihi, kwa Mwingereza, isipokuwa Mwingereza na Myahudi wanazungumza Kiingereza na...

>