15 Jan Trakti Namba 04
Kanisa la Kiyahudi, ambapo ukweli ulikaa mpaka wakati wa Kristo, lingekuwa milele “ghala,” na makuhani wangekuwa milele mawakili wake. Lakini wakati walimkataa Kristo, walimlazimisha Mungu kuhamisha “ghala” Lake kwa wachache...




